Msanii wa R&B na mcheza filamu nchini maarufu kama Hemed phd anatarajia kuachia ngoma yake aliyo mshirikisha mwanadada Ray c baada ya afya ya mwanadada huyo kuimalika kutokana na kuathirika na utumiaji wa madawa ya kulevya,Hemed aliandika kwenye ukurasa wake wa facebook alisema''Dar thanx god Ray c amerecovery tumsubirie kwenye ngoma yangu mpya very sooon inatwa I miss you very hoot track production inafanyika Kili rec na c9,bonge la hit''
No comments:
Post a Comment