msanii barnaba wiki iliyopita ameibiwa gita lake alilopewa na mke wa rais wa Marekani Laura Bush katika maeneo ya Leaders nje na ofisi za THT,akiongea na waandishi wa habari barnaba amesema ilikua siku ya Jmosi majira ya saa kumi na mbili alipoingia ofisin ndipo alipokuta gita lake halipo japo alifunga milango,jitihada za kulitafuta Gita hilo zinaendelea
No comments:
Post a Comment