Msanii Keko kutoka 256 nchini Uganda ameachia video yake aliyofanya chini ya label ya Sony Music Entertaiment Africa.Keko ndo amekua msanii wa kwanza kutoka Uganda kufanya kazi na kusaini label na kampuni hiyo lakini pia imewasainsha wasanii wengine kutoka Afrika mashariki akiwempo msanii kutoka Tanzania Rose Mhando
itazame hapa>>>>>
No comments:
Post a Comment