Usiku wa kuamkia leo msanii wa miondoko ya hiphop Ney wa Mitego ameibiwa vifaa vya gari yake aina ya Toyota Verosa lenye namba T418 CGK vyenye thamani ya sh milion 4 iliyokua imeegeshwa nyumbani kwake. Akizungumuza na vyombo vya habari alisema jana aliliacha katika hal;i ya usalama wakati anaenda kulala alivyoamka asubuhi alilikuta limeondolewa baadhi ya vifaa
No comments:
Post a Comment