Msanii wa miondoko ya dance Dogo Rama anayefanya kazi katka bendi ya Twanga Pepeta amesema kwasas yupo katika maandalizi ya albamu ya pili ambayo mpaka sasa tayari kashatengeneza nyimbo tatu japo jina la albamu hiyo linatafutwa hii ni kutokana na albam yake ya kwanza kufanya vizuri iliyokwenda kwa jina la Kilometa 10,000
No comments:
Post a Comment