Wednesday 5 December 2012

ALBAM MPYA YA DOGO RAMA

Msanii wa miondoko ya dance Dogo Rama anayefanya kazi katka  bendi ya Twanga Pepeta amesema kwasas yupo katika maandalizi ya albamu ya pili ambayo mpaka sasa tayari kashatengeneza nyimbo tatu japo jina la albamu hiyo linatafutwa hii ni kutokana na albam yake ya kwanza kufanya vizuri iliyokwenda kwa jina la Kilometa 10,000

No comments:

Post a Comment