Sunday 9 December 2012
HOFU YATAWALA AFRIKA KUSINI KWA KULAZWA NELSON MANDELA
Rais wa zamani wa Africa Kusini bwana Nelson Mandela amewashtua watu wake wa karibu kile kinachodaiwa kulazwa hospitalini Msemaji wa Nelson Mandela Foundation Sello Hatang amezungumza na vyombo vya habari kwamba hana taarifa za kulazwa Nelson mandela,Hata hivyo mke wake wa zamani wa Mandela Winnie Madikizela amesema naye hana taarifa za kulazwa Nelson Mandela jijin Pretoria jana
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment